Granada : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ko:그라나다 (스페인)
No edit summary
Mstari 9: Mstari 9:
== Viungo vya Nje ==
== Viungo vya Nje ==
*[http://www.alhambradegranada.org/default_en.asp Detailed information about the Alhambra]
*[http://www.alhambradegranada.org/default_en.asp Detailed information about the Alhambra]
*[http://www.granadatur.com/en Tourist Information of Granada]


[[Category:Miji ya Hispania]]
[[Category:Miji ya Hispania]]

Pitio la 15:05, 26 Februari 2009

Uwanja wa simba katika Alhambra mjini Granada
Mlango wa kanisa kuu la Granada

Granada ni mji katika kusini ya Hispania kwenye jimbo la Andalusia. Kuna wakazi 233,000. Uko mguuni wa milima ya Sierra Nevada katika bonde la mito Genil na Darro inayokutana mjini.

Mji una majengo mashuhuri sana kama vile Alhambra na makanisa yake. Kati ya 711 hadi 1492 ilitawaliwa na Waarabu. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya kihistoria hadi leo hii.

Viungo vya Nje