Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: ko:제곱킬로미터 |
d roboti Badiliko: km:គីឡូម៉ែត្រការ៉េ |
||
Mstari 55: | Mstari 55: | ||
[[jv:Km²]] |
[[jv:Km²]] |
||
[[ka:კვადრატული კილომეტრი]] |
[[ka:კვადრატული კილომეტრი]] |
||
[[km:គីឡូម៉ែត្រការ៉េ]] |
|||
[[km:គីឡូម៉ែត្រការ៉េ]] |
|||
[[ko:제곱킬로미터]] |
[[ko:제곱킬로미터]] |
||
[[la:Chiliometrum quadratum]] |
[[la:Chiliometrum quadratum]] |
Pitio la 14:07, 4 Novemba 2008
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047