Granada : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: vi:Granada |
d roboti Nyongeza: lb:Granada |
||
Mstari 43: | Mstari 43: | ||
[[la:Granata]] |
[[la:Granata]] |
||
[[lad:Granada]] |
[[lad:Granada]] |
||
[[lb:Granada]] |
|||
[[lt:Granada]] |
[[lt:Granada]] |
||
[[nah:Granada]] |
[[nah:Granada]] |
Pitio la 16:48, 15 Juni 2008
Granada ni mji katika kusini ya Hispania kwenye jimbo la Andalusia. Kuna wakazi 233,000. Uko mguuni wa milima ya Sierra Nevada katika bonde la mito Genil na Darro inayokutana mjini.
Mji una majengo mashuhuri sana kama vile Alhambra na makanisa yake. Kati ya 711 hadi 1492 ilitawaliwa na Waarabu. Athira ya Kiarabu huonekana katika majengo ya kihistoria hadi leo hii.