Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: bs:Trojna tačka
Mstari 35: Mstari 35:
[[sr:Тројна тачка]]
[[sr:Тројна тачка]]
[[sv:Trippelpunkt]]
[[sv:Trippelpunkt]]
[[uk:Потрійна точка]]
[[vi:Điểm ba trạng thái]]
[[vi:Điểm ba trạng thái]]
[[zh:三相点]]
[[zh:三相点]]

Pitio la 03:40, 25 Desemba 2007

Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.

Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).


Wikimedia Commons ina media kuhusu: