Kimatuumbi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kimatumbi)

Kimatuumbi ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wamatuumbi. Mwaka wa 1978 idadi ya wasemaji wa Kimatuumbi imehesabiwa kuwa watu 72,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kimatuumbi iko katika kundi la P10.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Maho, Jouni & Bonny Sands. 2002. The languages of Tanzania: a bibliography. (Orientalia et africana gothoburgensia, no 17.) Göteborg: Acta Universitatis Gothoburgensis. Pp ix, 428. ISBN 91-7346-454-6

Kitabu hiki kinataja marejeo mengine kama:

  • Kisseberth, Charles & David Odden. 1980. Aspects of tone assignment in Kimatumbi. Studies in the linguistic sciences, 10 (1), uk.125-140.
  • Odden, David. 1996. The phonology and morphology of Kimatuumbi. (Phonology of the world’s languages.) Oxford: Clarendon Press. Kurasa xi, 315. [ISBN 0-19-823503-8]
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimatuumbi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.