Vanuatu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Port Villa, Mji Mkuu wa Vanuatu
Ripablik blong Vanuatu
République du Vanuatu

Jamhuri ya Vanuatu
Bendera ya Vanuatu Nembo ya Vanuatu
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "In God we stand"
Wimbo wa taifa: Yumi, Yumi, Yumi
Lokeshen ya Vanuatu
Mji mkuu Port Vila
17°45′ S 168°18′ E
Mji mkubwa nchini Port Vila
Lugha rasmi Bislama, Kiingereza, Kifaransa
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
Jamhuri
Tallis Obed Moses
Bob Loughman Weibur
uhuru
kutoka Ufaransa na Uingereza

tarehe


30 Julai 1980
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
12,189 km² (ya 161)
negligible
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
266,937 (ya 183)
19.7/km² (ya 188)
Fedha Vanuatu vatu (VUV)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+11)
(UTC)
Intaneti TLD .vu
Kodi ya simu +678

-



Vanuatu ni nchi ya visiwani ya Melanesia katika Bahari ya Pasifiki ya kusini yenye visiwa 83.

Iko takriban km 1,750 mashariki kwa Australia, km 500 kaskazini-mashariki kwa Kaledonia Mpya, magharibi kwa Fiji na kusini kwa Visiwa vya Solomon.

Mji mkuu ni Port Vila.

Watu[hariri | hariri chanzo]

Kuna wakazi 266,937 (2014) wakiongea lugha asili 113 (angalia orodha ya lugha za Vanuatu).

Lugha rasmi ni Bislama, Kiingereza Kifaransa.

Wakazi wana asili ya Melanesia. Inawezekana watu wa kwanza walihamia visiwani miaka 4,000 iliyopita.

Kwa sasa wengi ni Wakristo, hasa Waprotestanti (Wakalvini, Waanglikana n.k.), halafu Wakatoliki (15%).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.