Nyuzilandi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyuzilandi
New Zealand (Kiingereza)
Aotearoa (Kimaori)
Bendera ya Nyuzilandi Nembo ya Nyuzilandi
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: God Defend New Zealand (Mungu Ilinde New Zealand)
God Save the King
Lokeshen ya Nyuzilandi
Mji mkuu Wellington
41°17′ S 174°27′ E
Mji mkubwa nchini Auckland
Lugha rasmi Kiingereza (95.9%)
Kimaori (4.2%)
Serikali Ufalme wa kikatiba
Charles III wa Uingereza
Cindy Kiro
Chris Hipkins
Uhuru
Dominion (kujitawala)
26 Septemba 1907
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
268,680 km² (ya 75)
2.1
Idadi ya watu
 - October 2021 kadirio
 - 2018 sensa
 - Msongamano wa watu
 
5,132,870 (ya 123)
4,699,755
19.1/km² (ya 167)
Fedha New Zealand dollar (NZD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
NZST9 (UTC+12)
NZDT (UTC+13)
Intaneti TLD .nz10
Kodi ya simu +64

-



Nyuzilandi (kwa Kiingereza: New Zealand; kwa Kimaori: Aotearoa) ni nchi ya visiwani katika Pasifiki takriban km 1,500 upande wa mashariki-kusini wa Australia.

Eneo lake linaundwa na visiwa viwili vikubwa: Kisiwa cha Kaskazini (North Island au Te Ika-a-Māui) na Kisiwa cha Kusini (South Island au Te Waipounamu) na vingine 600 vidogo.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Miji[hariri | hariri chanzo]

Miji mingine ni:

Watu[hariri | hariri chanzo]

Idadi ya wakazi ni 4,690,000. Wengi wao (74%) bado wana asili ya Ulaya, ingawa asilimia yao inazidi kupungua. Wakazi asilia ni Wamaori waliotokea Polinesia na kuhamia visiwa hivyo kati ya miaka 1250-1300 BK; kwa sasa ni 14.9% ya wakazi wote. Wengine wana asili ya Asia (11.8%) na ya visiwa vya Pasifiki (7.4%).

Lugha rasmi ni Kiingereza, Kimaori na Lugha ya Ishara ya Nyuzilandi (kwa Kiingereza: New Zealand Sign Language au NZSL).

Upande wa dini, 49% ni Wakristo wa madhehebu mbalimbali, kuanzia Kanisa Katoliki (12.6%), Anglikana (11.8%) na Wapresbiteri (8.5%). Idadi ya wasio na dini inazidi kupanda na imeshafikia 38.55%, mbali ya 12.27% wasiojibu swali kuhusu hilo. Kuna Mabanyani (2.1%), Wabuddha (1.5%), Waislamu (1.2%), Singasinga (0.5%)

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.