Niue

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Niue
Bendera ya Niue Nembo ya Niue
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: Ko e Iki he Lagi
Lokeshen ya Niue
Mji mkuu Alofi
°′  °′ 
Mji mkubwa nchini
Lugha rasmi Kiniue, Kiingereza
Serikali Ufalme wa kikatiba
Malkia Elizabeth II wa Uingereza
Anton Ojala
Young Vivian
Nchi shiriki
Katiba ya Niue
19 Oktoba 1974
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
260 km² ()
0
Idadi ya watu
 - Julai 2011 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
1,611 (221)
5.35/km2/km² (--)
Fedha New Zealand dollar (NZD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-11)
(UTC)
Intaneti TLD .nu
Kodi ya simu +683

-


Niue ni nchi ya kisiwani katika Pasifiki ya kusini.

Ni nchi ya kujitawala inayoshiriki na New Zealand inayoratibu siasa ya nje na mambo ya kijeshi.

Karibu wenyeji wote wanaishi huko New Zealand.

Niue iko km 2,400 kaskazini-magharibi kwa New Zealand kati ya Tonga, Samoa na Visiwa vya Cook.

Inahesabiwa kati ya visiwa vya Polinesia ikiitwa "Mwamba wa Polinesia".

Wakazi ni Wakristo, hasa Wakalvini (67%), halafu Wakatoliki (10%). Pia kuna Wamormoni (10%).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.