Yussuf Salim Hussein

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yussuf Salim Hussein (amezaliwa 01 Aprili 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Chambani kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017