Yacine Amaouche

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yacine Amaouche (alizaliwa 26 Juni 1979 jijini Amizour) ni mchezaji wa zamani wa soka. Alicheza kama mshambuliaji wa mwisho katika klabu ya MSP Batna katika ligi ya Algeria, Algerian Ligue Professionnelle 1.

Amaouche alikuwa mwanachama wa kikosi cha Algeria katika Kombe la Mataifa ya Afrika 2000, lakini hakucheza mechi yoyote katika mashindano hayo.[1] Alifunga bao moja katika mechi za kimataifa, ambalo lilikuwa dhidi ya Uganda mwaka 2002.[2]

Heshima[hariri | hariri chanzo]

  • Alishinda CAF Cup mara moja mwaka 2002 na JS Kabylie
  • Alishinda ligi ya Algeria mara mbili na JS Kabylie mwaka 2004 na 2008
  • Ana michezo 3 na bao 1 kwa timu ya Taifa ya Algeria

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Courtney, Barrie & Stokkermans, Karel. "African Nations Cup 2000". RSSSF, Julai 9, 2009. Imepatikana Juni 4, 2013.
  2. Duret, Sebastien. "Algeria - Details of International Matches 2002". RSSSF, Juni 28, 2003. Imepatikana Juni 4, 2013.
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yacine Amaouche kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.