Vilnius

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vilnius

Vilnius ni mji mkuu wa Lituanya. Una wakazi 558,165 (mwaka 2009).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni km² 401.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Mji ulianzishwa 1387.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Lituanya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Vilnius kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.