Veneranda Nzambazamariya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Veneranda Nzambazamariya, (alifariki 30 Januari, 2000) alikuwa kiongozi wa wanawake nchini Rwanda.

Baada ya kifo chake alitunukiwa Tuzo ya Amani ya Milenia kwa Wanawake.[1]

Nukuu Yake[hariri | hariri chanzo]

Hebu jifariji, umetolewa kafara na mifumo ni muhimu kubadilika, Unganeni ili kubadilisha matatizo kuwa fursa za kuchukua hatua.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://web.archive.org/web/20011031071457/http://www.undp.org/unifem/mpprize/rwandabio.html
  2. Mazurana, Dyan; Raven-Roberts, Angela; Professor, Jane Parpart, Research (2005-02-17). Gender, Conflict, and Peacekeeping (kwa Kiingereza). Rowman & Littlefield Publishers. ISBN 978-0-7425-8132-6.