Valérie Kaboré

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Valerie Kaboré (alizaliwa Bouaké, Ivory Coast, 1965) ni daktari wa mifugo na mwanasiasa wa Burkina Faso.

Wasifu wake[hariri | hariri chanzo]

Alisoma filamu katika Taasisi ya Kiafrika ya Masomo ya Filamu (INAFEC) katika Chuo Kikuu cha Ouagadougou, na baadaye alipata shahada ya pili na ya tatu.[1]

Kuongoza kwake[hariri | hariri chanzo]

Alianzisha kampuni ya filamu iliyoitwa Media 2000 mnamo mwaka 1991.[2] The company worked for the national television station of Burkina Faso and non-governmental organizations such as UNESCO.[2] Kampuni hiyo ilifanya kazi kwa ajili ya kituo cha televisheni cha kitaifa cha Burkina Faso na mashirika yasiyo ya kiserikali kama vile UNESCO.

Filamu nyingi za Valerie Kaboré huhoji mitazamo iliyozoeleka ya jamii ya Kiafrika, huku akilenga zaidi haki za wanawake, ikiwa ni pamoja na kupinga mimba za mapema na ubaguzi shuleni kwa misingi ya jinsia. Ameelezea kazi yake kama ikishughulikia mada nzito lakini yenye vipengele vya ucheshi ili "kufikisha ujumbe kwa urahisi zaidi."[3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Valérie KABORE, Réalisatrice burkinabè". Infowakat (kwa fr-FR). March 16, 2015. Iliwekwa mnamo 2023-02-20.  Check date values in: |date= (help)
  2. 2.0 2.1 Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named :0
  3. "Ina - Saison 2 et Biographie de la réalisatrice Valérie KABORÉ". TV5MONDE (kwa Kifaransa). Iliwekwa mnamo 2023-02-20. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Valérie Kaboré kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.