Ur

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Picha kutoka Ur

Ur ilikuwa mji katika Mesopotamia ya kale. Mahali pake ni katika Iraq ya leo kusini ya Baghdad. Inaaminiwa ilikuwa kati ya miji ya kwanza kabisa duniani.

Iliwanzishwa na watu wa Sumeri katika milenia ya tatu KK.

WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Ur" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Ur kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.