Milenia
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Milenia ni kipindi cha miaka elfu moja.
Kwa sasa tuko katika milenia ya pili BK iliyoanza tar. 1 Januari 2001. Lakini watu wengi walisheherekea tar. 1 Januari 2000 ingawa mwaka 2000 ilikuwa mwaka wa mwisho wa karne na milenia iliyotangulia.
| Makala hiyo kuhusu "Milenia" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Milenia kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |