Tucson, Arizona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la Tucson
Skyline ya Jiji la Tucson
Nchi Marekani
Jimbo Arizona
Kitongoji Pima
Idadi ya wakazi
 - Mji 525,529\
Website: www.tucsonaz.gov

Tucson ni mji wa Marekani katika jimbo la Arizona. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao milioni 1 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 728 kutoka juu ya usawa wa bahari.


Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tucson, Arizona kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.