Triglav

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Triglav

Triglav ni mlima wa Alpi katika nchi ya Slovenia (Ulaya).

Urefu wake ni mita 2,864 juu ya usawa wa bahari, hivyo unazidi milima yote ya nchi hiyo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Triglav kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.