The Pentagon
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The Pentagon ni jengo na ofisi ziko katika Arlington, Virginia karibu na Washington DC. Ni makao makuu ya Idara ya Ulinzi ya Marekani.
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |