Telšiai
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Telšiai (Kisamogitian: Telšē) ni mji nchini Lituanya. Ni pia mji wa viwanda. Kuna wakazi 31,460 (mwaka 2001). Mji ulianzishwa 1791.
Jiografia [hariri]
Iko kando ya Ziwa Mastis.
Viungo vya nje [hariri]
| Makala hiyo kuhusu "Telšiai" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Lituanya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Telšiai kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |