Somangila

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Somangila ni kata iliyopo katika wilaya ya Kigamboni katika mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 17102.

Kata ya Somangila ina jumla ya mitaa kumi na tatu ambayo ni: Dege, Visikini, Minondo, Kichangani, Kizani, Mkwajuni, Shirikisho, Mwera, Mbwamaji, Mwanzomgumu, Malimbika, Bamba na Sara.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 52,187 [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kigamboni - Tanzania

Kibada (17109) | Kigamboni (17107) | Kimbiji (17101) | Kisarawe II (17104) | Mjimwema (17106) | Pembamnazi (17105) | Somangila (17102) | Tungi (17103) | Vijibweni (17108)