Sintaksi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sintaksi (au sarufi miundo) ni tawi la isimu au taaluma ya sarufi inayoshughulikia namna ambavyo vikundi vya maneno na sentensi mbalimbali zinajengwa katika lugha. Taaluma nyingine za sarufi ni pamoja na fonolojia, mofolojia au semantiki.

[hariri] Marejeo

  • TUKI 1990, "Kamusi Sanifu ya Isimu na Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
  • Massamba, David 2004, "Kamusi ya Isimu na Falsafa ya Lugha", Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

[hariri] Tazama pia

WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Sintaksi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Sintaksi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.