Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (kifupisho chake UDSM kutoka Kiingereza "University of Dar es Salaam") ni chuo kikuu cha kwanza nchini Tanzania. Kiko katika jiji la Dar es Salaam. Kilianza kuwa chuo kikuu mwaka wa 1970 baada ya kutengwa kwa Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki katika byuo vikuu vitatu: Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda), Chuo Kikuu cha Nairobi (Kenya) na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
[hariri] Watu mashuhuri waliopitia UDSM
- Francis K. Butagira
- John Garang
- Laurent-Désiré Kabila
- Jakaya Kikwete
- Edward Lowassa
- Asha-Rose Migiro
- Gertrude Mongella
- Yoweri Museveni
- Walter Rodney
[hariri] Viungo vya nje
- University of Dar es Salaam - Tovuti rasmi ya Chuo Kikuu


