Shati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Shati Charvet Place Vendôme la miaka ya 1930, Norsk Folkemeuseum, Oslo, Norwe.

Shati (kutoka neno la Kiingereza "shirt") ni nguo inayovaliwa na binadamu eneo la juu la mwili wenye ukosi na mikono kwa ajili ya kusitiri mwili wenyewe.