Sharjah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Sharjah
Bendera ya Sharjah
Falme za Kiarabu

Sharjah (Kiar.: الشارقة ash-shaariqah) ni jina la emirati katika shirikisho la Falme za Kiarabu na pia jina la mji mkuu wa emirati hii.

Ina wakazi 636,000 kwenye eneo la 2,600 km² mwambanoni wa Ghuba ya Uajemi.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Faili:Sharjah-stamp1.jpg
Stempu ya Sharjah

Sharjah ni utemi mkubwa wa tatu kati ya Falme za Kiarabu. Inatawaliwa na Sheikh Dr. Sultan al-Qasimi.

Mji wa Sharja ina wakazi 519,000 (2003 sensa). Iko karibu na miji ya Ajman na Dubai na yote mitatu imekuwa sasa rundiko la jiji.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Magazeti za Falme za Kiarabu[hariri | hariri chanzo]