Sandra Botha

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Celia-Sandra Botha (alizaliwa 25 Februari 1945) ni mwanasiasa wa Afrika Kusini, ambaye aliwahi kuwa Balozi wa Afrika Kusini katika Jamhuri ya Czech.Alikuwa ni Kiongozi wa zamani wa Upinzani, kwa niaba ya Democratic Alliance na kiongozi wake, Helen Zille, katika Bunge la Kitaifa la Afrika Kusini.

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni[hariri | hariri chanzo]

Botha alipata kura nyingi zaidi ya waziri wa zamani wa baraza la mawaziri la NP, Tertius Delport.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.iol.co.za/news/politics/zille-led-da-gets-a-shake-up-358045