Riga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Riga ni mi mkuu wa Latvia pia mji mkubwa mwenye wakazi 731.672 (mwaka 2005).

Mji uko kando la mto Dunava karibu na pwani la Baltiki.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Riga kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.