Raymond Adeola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
aymond Adeola

Raymond Adeola (alizaliwa 12 Mei 2001) ni mwanasoka wa kulipwa kutoka Nigeria, ambaye anacheza kama kiungo katika klabu ya Rodina Moscow.

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Raymond Adeola kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.