Rashid Ali Abdallah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rashid Ali Abdallah (amezaliwa 2 Desemba 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Tumbe kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017