Raphael Benedict Mwalyosi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Raphael Benedict Mwalyosi (amezaliwa tar. 3 Desemba 1946) ni mbunge wa jimbo la Ludewa katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri]

Marejeo[hariri]

  1. Mengi kuhusu Raphael Benedict Mwalyosi (13 Julai 2006). Rudishwa juu ya 11 Novemba 2011.