Pori la Akiba la Polokwane

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pori la Akiba la Polokwane, liko karibu na Polokwane ndani yaLimpopo, jimbo la Afrika Kusini, na ni mojawapo ya Mapori ya Akiba makubwa ya manispaa nchini humo.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Ntema, John; Venter, Anita (2016-05-20), "Polokwane", Secondary Cities and Development (Routledge): 125–140, iliwekwa mnamo 2022-06-11 
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Pori la Akiba la Polokwane kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.