Polokwane
| Jiji la Polokwane | |
| Mahali pa mji wa Polokwane katika Afrika Kusini | |
| Anwani ya kijiografia: 23°53′24″S 29°27′0″E / 23.89°S 29.45°E | |
| Nchi | Afrika Kusini |
|---|---|
| Majimbo | Limpopo |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 123,749 |
| Tovuti: www.polokwane.org.za | |
Polokwane (Kiafrikaans: Pietersburg) ni manisipaa ya Afrika Kusini na mji mkuu wa Jimbo la Limpopo. Mji una wakazi nusu milioni.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Mji ulianzishwa mwaka 1886 na makaburu wa Voortrekker ukapewa jina la Pietersburgh kwa heshima ya jenerali ya makaburu Petrus Jacobus "Piet" Joubert. Wakati wa Vita ya pili ya Waingereza dhidi ya Makaburu Pietersburgh ikawa mji mkuu wa jamhuri ya Transvaal ikavamiwa na Waingereza mwaka 1901.
Jiografia [hariri]
Polokwane iko katika nyanda za juu kwa kimo cha mita 1,312. Hali ya hewa ni ya wastani yenye sentigredi 27°C wakati wa joto na 20 °C wakati wa baridi.
Uchumi [hariri]
Kuna migodi ya almasi na kiwanda cha kuchimbia mchanga safi sana inayofaa matumizi ya vioo. Pamoja na migodi kuna pia viwanda mbalimbali.
Michezo [hariri]
Polokwane itaona michezo ya mpira wakati wa kombe la dunia la 2010.
Viungo vya Nje [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Polokwane kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |