Pijini
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pijini ni lugha ambayo huzuka pale ambapo makundi mawili ya watu wenye lugha mbalimbali yanapokutana na haja ya mazungumzo hutokea.
| Makala hiyo kuhusu "Pijini" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
| Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pijini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |