Peni
Peni (kutoka Kiingereza "pen") ni kifaa ambacho kimejazwa wino ambao husaidia katika kuandika mambo mbalimbali.
Faida[hariri | hariri chanzo]
1. Hutusaidia kumbukumbu, kwa mfano ya masomo
2. hutusaidia kuchora mambo muhimu, kwa mfano ramani za majumba
Hasara[hariri | hariri chanzo]
1. Hasara mojawapo ya peni ni pamoja na uchafuzi wa mikono na nguo kutokana na uwekaji mbaya.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |