Pamba S.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pamba Sports Club ni klabu ya soka ya Tanzania inayopatikana jijini Mwanza iliyoanzishwa mwaka 1968 inayoshiriki michuano ya ubingwa. Mnamo mwaka 1990 timu ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]