Osogovo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima wa Ruen katika Osogovo

Osogovo ni safu ya milima ya Balkani (Ulaya), kati ya nchi za Bulgaria na Jamhuri ya Masedonia Kaskazini.

Urefu wa kilele chake kirefu zaidi kiitwacho Ruen ni mita 2,251 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Osogovo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.