Orhan Pamuk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Tuzo Nobel.png
Orhan Pamuk
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Ferit Orhan Pamuk (amezaliwa 7 Juni, 1952) ni mwandishi kutoka nchi ya Uturuki. Katika hadithi zake anajaribu kuunganisha riwaya ya Ulaya ya kisasa na mapokezi ya nchi za Mashariki. Mwaka wa 2006 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

[hariri] Viungo vya nje

Quill and ink.svg Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Orhan Pamuk kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine