Oholiabu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Oholiabu alikuwa fundi anayetajwa katika Agano la Kale, au Biblia ya Kiebrania katika kitabu cha Kutoka, sura ya 35 kuanzia mstari wa 34. Alikuwa Mwanaisraeli kutoka kabila la Dani.
| Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Oholiabu kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |

