Mzamiru Yassin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mzamiru Yassin (amezaliwa Morogoro, Tanzania, 3 Januari 1996) ni mchezaji maarufu wa soka kutoka nchini Tanzania, ambaye anacheza kama kiungo wa kati katika klabu ya Simba S.C. na timu ya taifa ya Tanzania[1].

Mzamiru ameendelea kuonyesha kiwango bora katika soka tangu alipojiunga na Simba SC miaka sita iliyopita, akionekana kuwa sehemu muhimu ya mafanikio ya timu yake. Ameshiriki katika mechi 36 na timu ya taifa ya Tanzania bila kufunga goli.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Strack-Zimmermann, Benjamin. "Zimbabwe vs. Tanzania (3:0)". www.national-football-teams.com. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mzamiru Yassin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.