Mtaguso wa Orange (529)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mtaguso wa pili wa of Orange (au Sinodi ya pili ya Orange) ulifanyika mwaka 529 huko Orange, katika Ufalme wa Waostrogoti. Ulipitisha sehemu kubwa ya teolojia ya Augustino kuhusu neema ya Mungu, pamoja na kulaani mafundisho mbalimbali ya Wapelajiupande.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mtaguso wa Orange (529) kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.