Mlozi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlozi
(Prunus amygdalus)
Mlozi uliotoa maua
Mlozi uliotoa maua
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Rosales (Mimea kama mwaridi)
Familia: Rosaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mwaridi)
Nusufamilia: Amygdaloideae (Mimea iliyo na mnasaba na mlozi)
Jenasi: Prunus
Nusujenasi: Amygdalus
Spishi: P. dulcis
(Mill.) D.A.Webb

Mlozi ni mti mdogo wa jenasi Prunus (nusujenasi Amygdalus) katika familia Rosaceae. Matunda yake hayana jina, lakini lozi au badamu ni jina la kokwa ya tunda.

Asili ya mti huo ni Mashariki ya Kati na Asia ya Kusini, lakini siku hizi unapandwa kila mahali katika kanda za nusutropiki.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mlozi kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.