Milima ya Upare

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Milima ya Upare iko kaskazini mwa Tanzania katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Inagawanyika katika milima ya Upare Kaskazini na milima ya Upare Kusini.

Kati ya milima yake kuna:

Jina limetokana na kabila la Wapare ambao ndio wenyeji wa eneo hilo.

Kilele cha juu kiko mita 2,463 juu ya usawa wa bahari (Shengena Peak).

Ni sehemu ya milima ya Tao la Mashariki.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]