Memphis, Tennessee

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la Memphis
Skyline ya Jiji la Memphis
Nchi Marekani
Jimbo Tennessee
Kitongoji Shelby
Idadi ya wakazi
 - Mji 677,272

Memphis ni mji wa Marekani katika jimbo la Tennessee. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.28 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 103 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Memphis, Tennessee kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.