Mchani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchani
(Albizia spp.)
Mchani-mbawe
Mchani-mbawe
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Mimosoideae (Mimea inayofanana na kifauwongo)
Jenasi: Albizia
Durazz., 1772
Spishi: Karibu na spishi 150 (Orodha ya spishi za Albizia)

Michani au mikenge ni miti ya jenasi Albizia katika nusufamilia Mimosoideae ya familia Fabaceae, lakini spishi nyingine zina majina kama mporojo, mkami na mkalala. Spishi nyingi ni miti midogo, lakini spishi kadhaa ni kubwa sana (k.m. Mchani-mbawe). Majani yao yana sehemu nyingi na maua yana stameni zilizo ndefu kuliko petali. Kwa kawaida stameni ni shaufu na petali hazionekani sana.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]