Marmolada

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima wa Marmolada

Marmolada ni mlima wa Alpi katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini).

Urefu wake ni mita 3,343 juu ya usawa wa bahari, hivyo unazidi milima yote ya Dolomiti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]