Makumbusho ya Narok

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makumbusho ya Narok ni makumbusho yanayopatikana Narok, kaunti ya Narok, nchini Kenya.[1]

Hayo ni makumbusho ya utamaduni wa jamii za Wamaasai na wengine wanaozungumza lugha ya Maa, wakiwemo Wasamburu na Wandorobo.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Narok - Historical Background". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-12-18. Iliwekwa mnamo 2020-05-02. 
Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Makumbusho ya Narok kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.