Majadiliano:Elimu
ELIMU ELIMU ni miongoni mwa miongozo ya binadamu bila elimu hakuna kitu chochote binadamu yeyote anategemea elimu na ili kuwe na elimu bora kuna hitajika vifaa na mazingira mazuri ya kusoma lakini pia ni mwamko wa mwanafunzi mwenyewe
Lakini Nchi yetu TZ iko nyuma kielimu kwasababu ya inauhaba wa madarasa hivyo inakua vigumu mwanafunzi kufanya vizuri katika masomo yake.
Anaitwa Shukunado Magiya Chiyuga Musomi [Shuku Musomi].