Bahari ya Mediteranea ni bahari ya pembeni ya Atlantiki kati ya mabara ya Afrika,Ulaya na Asia ya Magharibi. Eneo lake ni takriban milioni 2,5 km². Kina chake kirefu ni 5,267 m. Ina kanda ya hali ya hewa ya pekee pamoja na mimea na wanyama.[Jamii:Bahari ya mediteranea]]