Lugha za Kimirndi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eneo la vikundi vya Kimirndi barani mwa Australia: lugha za Kiyirram (rangi ya kizambarau) na za Kibarkly (rangi ya buluu)

Lugha za Kimirndi ni familia ndogo ya lugha nchini Australia. Katika familia hiyo kuna vikundi viwili ambavyo lugha zake huzungumzwa katika jimbo la Northern Territory: lugha za Kiyirram na lugha za Kibarkly.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kimirndi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.