Lugha za Burkina Faso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Burkina Faso ni nchi yenye lugha nyingi. Inakadiriwa kuwa lugha 70 zinazungumzwa huko, kati ya hizo 66 ni za asili.

Lugha ya [1] Kimooré inazungumzwa na takriban 52.5% ya wakazi, haswa katika eneo la kati karibu na mji mkuu, Ouagadougou.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]