Lucy Chege
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lucy Chege (amezaliwa 15 Novemba 1976) ni mchezaji wa voliboli kutoka nchini Kenya. Amekuwa nahodha ya timu ya kitaifa ya wanawake ya Kenya ya voliboli.[1]. Ameshiriki katika Kombe la Dunia la Voliboli. Nchini Kenya,anachezea kilabu cha voliboli cha Kenya Pipeline.
Ni bibiye David Munyasia, bondia wa Kenyan aliyepatikana kutumia dawa aina ya cathine mnamo 6 Agosti, iliyopelekea kuzuiliwa kushiriki Michezo ya Olimpiki ya mwaka huo [2].
Marejeo [hariri]
- ↑ FIBV: [Kenya picks 13 for Four Nations event]
- ↑ 17 Septemba 2006: Boxer Munyasia is back