Lucy Chege

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lucy Chege

Lucy Chege amezaliwa 15 Novemba ni mchezaji wa voliboli kutoka nchini Kenya. Amekuwa nahodha ya timu ya kitaifa ya wanawake ya Kenya ya voliboli.[1]. Ameshiriki katika Kombe la Dunia la Voliboli. Nchini Kenya,anachezea kilabu cha voliboli cha Kenya Pipeline.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. FIBV: [Kenya picks 13 for Four Nations event]

Kigezo:Mbegu-wanamichezo-Kenya